mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Nakumbuka niliamua kwa moyo mmoja kujiunga familia ya AIRTEL miaka mitatu iliyopita. Kwa miaka mitatu iloyopita niliishi kwa furaha san(of cause mi ni mtu wa bando za internet kuliko za kupiga na sms) kidogo wakaanza kupandisha gharama ila nilikua nawaelewa sana so nikaamua kuvimba nao.
Ila leo naaga rasmi familia yenu nawashukuru kwa marafiki mlionipa na hela zangu nlizowapa ila 5000 kwa GB 1 hapo mmeniweza.
Naskia kuna Haloteli ngoja nikaponee huko kama vile nyie mlivoniponya toka kwa Vodacom. Wacha nizidi kua mkimbizi sasa maana hamna namna.......
#nimeamini_muhindi_sio_ndugu_yako
Kwaheri ya kuonana
Ila leo naaga rasmi familia yenu nawashukuru kwa marafiki mlionipa na hela zangu nlizowapa ila 5000 kwa GB 1 hapo mmeniweza.
Naskia kuna Haloteli ngoja nikaponee huko kama vile nyie mlivoniponya toka kwa Vodacom. Wacha nizidi kua mkimbizi sasa maana hamna namna.......
#nimeamini_muhindi_sio_ndugu_yako
Kwaheri ya kuonana