Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 692
kwanza kabisa napenda kukwambia kuwa kuna mambo mengine hautikiwi kujihusisha ndugu yangu na mbunge wangu edward ngoyai lowassa,ivi arumeru kaka yangu ulifuata nini?AIBU ULIYOIPATA ARUMERU itakutokea tena muda si mrefu.
dhumuni la barua yangu hii mheshimiwa ni kutaka kukueleza kuwa jipange mwaka 2015 ninakuja kupambana na wewe hukoo monduli, ni kweli unajua kuhadaa na ahadi kedekede ndugu yangu, ni kweli unajua kutumia wamasai ambao walikuwa hawana elimu kukupigia kura ila mwisho ni 2015 nitatangaza nia ya kukupinga zama za kupita bila kupingwa au kupita kirais zimekwisha jiandae kaka nimekulia monduli nimesoma monduli na nitawakomboa wana monduli..... najua nitakuwa na challenge nyingi sana ila mungu ndie atakaenisaidia na wananchi wataamua siku zote naamini inawezekana
dhumuni la barua yangu hii mheshimiwa ni kutaka kukueleza kuwa jipange mwaka 2015 ninakuja kupambana na wewe hukoo monduli, ni kweli unajua kuhadaa na ahadi kedekede ndugu yangu, ni kweli unajua kutumia wamasai ambao walikuwa hawana elimu kukupigia kura ila mwisho ni 2015 nitatangaza nia ya kukupinga zama za kupita bila kupingwa au kupita kirais zimekwisha jiandae kaka nimekulia monduli nimesoma monduli na nitawakomboa wana monduli..... najua nitakuwa na challenge nyingi sana ila mungu ndie atakaenisaidia na wananchi wataamua siku zote naamini inawezekana