Barua kwa Dr. W. Slaa

Kwenye kukigawa Chama hapo kina point. Kama hawatakata rufaa na Lema akawa amezuiwa kuna dalili za kukigawa Chama.
 
Tunakushukuru Luteni kwa barua yako unajua kwamba arusha ndio dunia na unajua kwamba arusha kila kitu wakubwa wote dunia ikitaka kushuka inashukia AICC sasa unafikiria nini kama sio ulafi wa CCM kwa kweli tunawaambia kwamba hawataipata arusha hata kwa dawa.Wanazidi kujikanyaga arusha sio tunawaambia hivi wamshukuru SLAA ALIYETUAMBIA KWAMBA TUNYAMAZE AMA ZAO AMA ZETU WATU WA ARUSHA TUNGEKUFA NA WAO WAO WANGEKUFA TU.UNAJUA CCM INAPESA WA WANANCHI NDIO WANACHEZEA KATIKA MAMBO YAO YA KIJINGAN HASA PESA YA MJI WA ARUSHA,MBUGA ZA WANYAMA,TANZANITE, NA MENGINEYO MENGI SANA.SEMA TU WANANCHI HAWAJUI HII NCHI TUMESHAUZWA PASIPO SISI KUJUA.WATANZANIA MNATAKIWA KUFIKIRIA MBONA HAWAKUNA MARAIS WANAOKUJA HAPA NCHINI KILA SIKU LAKINI RUTI ZA PRESIDENT WETU HAZIISHI NCHI ZA WEZETU TENA HIZI NCHI KUBWAKUBWA TU.HAKUNA ZINGINE.KWANII ASIWE ANAENDA SOMALIA AU MOZAMBIQUE AU MALAWI ANGALIA RUTI ZAKE ZOTE HALAFU HAKUNA CHOCHOTE ANACHOKWENDA KUFNAY HIZO PESA WANAZOPOTEZA KUSAFIRIA AU KUHARIBU KWENYE UCHAGUZI NI BORA WANGEWALIPA MADAKTARI NA WALIMU WA HAPA TZ WANAOPATA SHIDA.

ASANTENI MUNGU IBARIKI TANZANIA YEYOTE ANAYETAKA KUILETEA TANZANIA MATATIZO NA AKAFE KABLA HAJAMALIZA MDA WAKE.
 

kijana, 50yrz mmetufanyia nini Watanganyika??
 

pa1 mkuu. Hapa tusiangalie ubunge wa Lema,tuangalie sheria kama imepindishwa. Chadema kuweni makini msije maamuzi ya hovya,yakaja kukigharimu chama
 
Luteni umetisha.
hili ndilo ombila langu kwa CHADEMA.
 
kweli Luteni umenena kama mhimili tuliouamini umetuangusha hatuna aja ya kurudi huko ni walewale tu Lema wetu zunguka nchi kumwaga sumu na kuongeza na kuimalisha matawi tayari kwa 2015 tuangalie mtu makini asimame tutashinda mapambano haya yaliyoanza .kwa upande mwingne naona nuru mbele yetu kwakile walichofanya kwani tutajitangaza zaidi na kujiimalisha zaidi.
 
Kwa kuongezea tu na kwa msisitizo mkubwa kwako Mh Dr.Slaa...kama unasoma huu ujumbe...please please......kesi hii ina mambo mengi kwani hata kama hamtakata rufaa na mkaamua kumsimamisha Lema...bado kutakuwa na mizenge tele ya delaying tactics.....USHAURI KWAKO DR.SLAA...TAFADHALI WAKUSIMAMISHE WEWE UGOMBEE UBUNGE ARUSHA.CHADEMA WASIMSIMAMISHE MTU MWINGINE ARUSHA ZAIDI YA DR.SLAA.IKUMBUKWE KUWA ARUSHA INA MATATIZO MENGI YA MADIWANI AMBAYO HAYAJAPATIWA UFUMBUZI......PIA ARUSHA NI JIMBO KUBWA TZ.....NA NDIO MAANA CCM WANALITAKA...HASWA JK....HIVYO ASIMAME DR.SLAA MWENYEWE ARUSHA ACHUKUE JIMBO TAFADHALI...ATASAIDIA KUONDOA MIGOGORO ARUSHA KWA KIPINDI HIKI MPAKA 2015....
ANGALIZO: HATA MH.MBOWE ILIBIDI AGOMBEE HAI ILI KULINUSURU JIMBO PAMOJA NA KUWA YEYE NI CHAIRMAN NA ALISHAWAHI KUGOMBEA URAIS...HIVYO SHIME MSIKATE RUFAA NA MSIMAMISHENI DR.SLAA ARUSHA MUIMALIZE CCM.ARUSHA INAHITAJI MTU MZITO KAMA DR.SLAA......LEMA ATAENDELEA KUFANYA KAZI ZA dR.SLAA WAKATI DR.SLAA YUKO BUNGENI........this is my very important suggestion to CDM
 
Mwendo ni uleule wa farasi kamanda 'pipa kura linda kura'kama unaweza unaweza tu hata pasipo mvua radi zitapiga tu... Kwani CDM waende mahakamani umeambiwa wao ni magamba?make CDM inachaguliwa na nguvu ya umma na si nguvu ya mahakama
 
Barua ya Luteni Imekuja wakati mwafaka, CHADEMA tuiunge mkono.
 
Iwapo ikishindikana.kamanda lema azunguke nchi nzima kutoa elimu,chondechonde Dr.slaa mtume Lema Bukoba vijijini,wanataka mabadiliko ila bado hamjawekeza kule.kwanini!!?
 
Mimi kwa uelewa wangu mdogo tu ningeona Chadema ikate rufaa kwa sababu hukumu inamapungufu mengi sana
 
Spanner unachosema kina msingi endapo haki itapatikana mahakamani....lakini hoja ya msingi hapa ni kuwa inaonekana haki imepindishwa mahakamani kwa hukumu hii na hivyo msingi wa kuirudisha kesi hii mahakamani unakosekana....tayari mahakama kuu imeshaonesha kuwanyima haki raia waliomchagua Lema sasa kwanini utegemee haki ipatikane huko huko mahakamani????msingi wa hoja hapa ni kurudia uchaguzi ili hukumu itolewe na wananchi wenyewe......Ieleweke wanaonyimwa haki hapa si Lema bali wananchi waliomchagua Lema....ni hawahawa wananchi watakaotoa hukumu ya kesi hii kwa njia ya kura....Hoja ya polisi kutangaza matokeo ni sawa tu na hoja ya rufaa kukataliwa....hivyo hapa ni kupima probability....kwamba wapi haki inaonekana itatendeka??????????BADO NASISISTIZA CDM WASIKATE RUFAA BALI WARUDIE UCHAGUZI KWA KUMSIMAMISHA MTU MAKINI AMBAYE NI DR.SLAA......HII ITAKATA MZIZI WA HILA ZA CCM ARUSHA....BELIEVE ME..........
 
una uhakika gani kuwa wakikata rufaa watashinda????mahakama zenyewe si ndio hizi hizi????
 
Wara hii naona vita sasa kuliko mambo yanavoenda"bora vita ya haki" LEMA.wasitutishe ndugu zangu kama ni vita na ianze wanadhalilisha sana utu wetu..
 
Jamani,CDM ina wanasheria na kama kupata habari toka jikoni CDM ndo champions,hebu tuwaachieni wafanye maamuzi yaliyo sahihi.Lengo la hukumu na mipango yote Dr. aliijua mapema ndo maana alimpigia Kamanda Lema juu ya hukumu hata kabla ya kwenda mahakamani!Ushauri ni mzuri na yote yanafaa na kukubarika lakin tuwaachie makamanda ambao hawalali sababu ya "Movement for change......"
 
Asante Luteni kwa barua yako nafikiri Dr. Slaa atakuwa ameipata.

Kama ulivyoshauri katika barua yako CDM wasikate rufaa na mimi niko na wewe kwa 100%. Jambo la msingi ni kuwa politically jimbo la Arusha mjini ni muhimu kwa sana kwa CDM, kulipoteza litakuwa pigo kubwa kwa chama. Najua kuna watu watasema Lema atapoteza haki yake ya msingi au hukumu yake itatumika kama reference kwa hukumu zingine, ni kweli na si kweli kwa upande mwingine. Hakimu atakayetumia hukumu kama hii yenye utata atazidi kuidhalilisha mahakama na taaluma yake.

Wanaotaka Lema akatafute haki mahakama za juu hawajui kuwa hii kesi ni planned, sote tunajua mahakama zetu zilivyo siyo independent yaliyotokea yanaweza kutokea tena yakawa na impact mbaya zaidi kwake Lema, kwa chama na kwa wananchi wa Arusha mjini wanaweza wasiwe na mwakilishi kwa kipindi kirefu. Waliomvua ubunge Lema hawakufanya kwa bahati mbaya wanajua wanafanya nini kwa hiyo wamejiandaa watafanya nini endapo CDM watakata rufaa. Mwisho nikupongeze tu kwa draft nzuri ya barua yako nafikiri imekuja kwa muda mwafaka.
 
Hello Wanajamii Forum, ni mara ya kwanza kujiunga, nawatakia kazi njema na ninaunga mkono hoja ya Luteni....Tupo pamoja...
 
Nazidi kukazia ushauri wangu kuwa CDM ikate rufaa kwa grounds zifuatazo:

1.Jaji haja fuata utaratibu wa kisheria wa kutoa adhabu. Adhabu ya kusimamishwa kugombea tena hakuitaja, ingawa alitumia s.114, bila yeye kuwa specific ktk kutoa adhabu.(It is fatal per se).

2.Katika hukumu yake alitumia ushahidi wa upande mmoja wa walalamikaji tu.Hakuzingatia wala kuuchambua ushahidi wa wakili wa mlalamikiwa. Kwa tendo hili jaji amekiuka the Golden principal of Natura Justice: The right to be heard (Audi alteram partem).
3.Katika kesi hii ambayo msingi wake(cause of action) ni udhalilishaji, Mtu mwenye na Locus Standi ni Dr. Burian against the whole world. Wa pili ni Lowassa. Hao waliofungua kesi ni wageni(they are strangers).katika kesi za defamation hakuna wa kuirithi.

Tujikumbushe kwenye Law of Torts:
An actionable defamatory statement has three ingredients for it to stand:
i)It must be published.
ii)it must refer to the complainant(plaintiff).
iii)It must be false.


4.Pia jaji ilibidi ajiulize juu ya ukweli au uwongo wa kauli alizosema kwenye mikutano hiyo.Kupima ukweli au uwongo wa hili mahakama ilitakiwa kumuita Dr.Burian na E.Lowassa waje wahojiwe na mahakama na mawakili wa pande zote ili kujua ukweli uko wapi. Pia ulihitajika ushahidi wa kitaalam(expert opinion) i.e DNA test ya mtoto wa Dr.Burian, ili kujiridhisha juu ya baba halali wa mtoto huyo. Ingethibitika kuwa alichosema Lema ni ukweli, basi Lema hangetiwa hatiani kwa sababu ya defense ya JUSTIFICATION(amesema ukweli).

Kwakweli hukumu hii ni kichekesho mtupu. Dawa ni kukata rufaa, si vinginevyo. CDM wakikata rufaa Lema atarudi Bungeni. Labda mahakama ya rufaa ifisadi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…