Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Hivi mama Kikwete naye si alikuwaga ticha wa zamu?
Najua mkulu anaijua vyema mishahara ya waalimu.
Asijisahau sana na kufikiria kila mwalimu atakuwa Rais kama Nyerere au first lady kama mama Kikwete
Najua mkulu anaijua vyema mishahara ya waalimu.
Asijisahau sana na kufikiria kila mwalimu atakuwa Rais kama Nyerere au first lady kama mama Kikwete