maulaga
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 472
- 120
Nashindwa kuamini kama kweli barua hiyo iliandikwa na mhitimu wa shahada ya pili(MBA) ya chuo kikuu cha D'salaam!Kevela atakua na matatizo ya akili kweli kwani hawezi kutoa tuhuma zake bila kuihusisha CDM? Lakini amenisaidia kujua siri ya uteuzi wa Mangula na siasa za majitaka na kikabila zinazoendelea mkoa mpya wa Njombe.