ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
tunahitaji kuchunguza ukweli wa barua hii lakoni kwa akili za kawaida kama kwelio imetungwa huyu jamaa kiboko make kama matukio yanaenda kwa mpangilio mzuri. ok ila hizi ni siasa za CCM. mbona mifano ya waheshimiwa watukanaji ni mingi. Kevela katumia CDM kama mfano kuwa wana siasa za kibabe sasa sijui yeye analalamika nini?