Makandila9090
Senior Member
- Aug 16, 2016
- 161
- 192
Diwani anashindwa kuprint
Makandila
Makandila
Nategemea sio mda mrefu anakuja kukanusha uongo huu.
Nategemea sio mda mrefu anakuja kukanusha uongo huu.
Kama diwani anaweza kusimama hadharani akasema anaacha udiwani kwa vile anamuunga mkono Magu unashangaa nini kuandika kwenye karatasi kama hiyo?Hakuna mtu ambaye alikuwa nje ya CCM kasha akajiunga wakati huu ambaye kichwani yuko sawa hata kidogoHa ha ha... kupata kichekesho hiki na vingine andika chagadema kisha mkosa uzalendo kisha nyota ok. Tangu lini diwani akaandika kwenye kikaratas cha ajabu ajabu kama hiki? Hata mtoto wa drs la pili lazima ajue imetengenezwa hii
MaCCM ni mabingwa wa kutoa rushwa, wamajidai wamapambana na rushwa!!Swala sio kurudi swala ni kauli ile ile tunayoipinga kuhongwa/kurubuniwa.....kurudi anaweza akarudi kama lipumba tuu....swala hapa ni jinsi gani upinzani unaweza kuifuta hii kauli ya kuhongwa na kurubuniwa??