Bars from Ludacris!

Jay Z ni mkali ila hana puch zozote, yuko na flow nzuri ila punch hamna kitu, kwa hapa bongo ni sawa na prof Jay kwenye best Rappers huachi kuwaweka ila punch hawana
Jay Z ni Goat anakuchapa kwenye flow na mafanikio maana ni bilionea 😂😂
 
Jay Z ni mkali ila hana puch zozote, yuko na flow nzuri ila punch hamna kitu, kwa hapa bongo ni sawa na prof Jay kwenye best Rappers huachi kuwaweka ila punch hawana
Jay z pia ni mwandishi mzuri pia
 
Mumble rappers.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…