Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,919
Hawa mawaziri wanaposema tuna umeme toshelezi sijui wanamaanisha nini?Hivi majuzi Muhongo alisema umeme wa mgawo ni wa kupanga,akiwa na maana tuna umeme toshelezi!Na kwamba mgawo ni mahususi kwa watu flani wenye kunufaika kwa kuwauzia TANESCO mafuta...Sasa kama Barrick nao wanasema ni gharama kubwa kuendesha shughuli kwasababu umeme ni wa mgawo(blackouts),na hivyo inabidi watumie diesel(costs more),jambo ambalo linasababisha waseme ni ghali sana kuendesha shghuli zao,unadhani nani anaathirika zaidi ya Taifa kama kweli Muhongo yuko right?
Kwanza tukikubaliana nao tu kwamba umeme ni shida,ujuwe kuwa kwenye kunegotiate nao terms za mikataba sisi tayari tuko kwenye disadvantage,achilia mbali tamaa za ten percent!
MW1000 kwa watu milioni 40 ambao wapo scattered is almost nothing.
Mkoa wa Mara, au tuseme buhemba kuna ration gani kati ya hizo 1000? Angebainisha hilo, source ya huo umeme ni nini?, reliability ? Angeainisha hivyo vitu kwanza labda angeeleweka.
ila nakubaliana naye kuwa Coal imetupwa ili mafuta yatumike kuwanufaisha baadhi ya watu/vigogo otherwise, sijawahi kuona watu wajinga kama nishati .... short term solution kwa long term problem!! ndiyo madhara yake hayo.
unatumia Cofta kutibu kifua kikuu.