gm man
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,179
- 1,453
Ndio aliwaleta na kuwasainisha mikataba????Lissu ndio Aliwatetea Mabeberu, noah ungepataje!
Ndio aliwaleta na kuwasainisha mikataba????Lissu ndio Aliwatetea Mabeberu, noah ungepataje!
Mkuu,Noah kanunue yako
Bora sisi tunaolipwa shilingi 10 kwenye mabilioni tunayodai kuliko nyie mliotangaza mchana kweupe kama mkishinda eti mtayaweka madini yetu bondiBillion au trillion?
Unamdai mtu laki anakupa sh kumi unaita waandishi wa Habari?
Ikulu mmgeuza sehemu ya kutengenezea movies za kumtafutia Bw Yule kiki. Lazima mwaka huu muapishe wengine wenye kufahamu thamani halisi ya Ikulu yetu.Sasa ndio imesha sainiwa kalie sana leo
Mkuu kuliko kubwabwaja ungeleta huo mkataba wa Siri tuone. Lasivyo utakuwa mfia maji tuUjinga mtupu!Tunasikia mmesaini nao mikataba ya siri kinyume na sheria mliotunga wenyewe, alafu mnatulaghai na hiyo hela mbuzi!
Kwa kifupi,tunaomba mkataba uwekwe wazi.