CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 560
- 2,087
Wazee wanzangu, nimekuja jiji la Mwanza kwa mwezi mmoja sasa. Kola ninaporudi hoteli niliyofikia nahisi kama mashuka yamemwagiwa maji. Mwanza pamegeuka Makambako.
Kwa wale wavuta bange hali inaruhusu, kwa sisi wapigaji Serengeti hali inaruhusu na kwa Wa misingi kiuno hali inaruhusu kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wavuta bange hali inaruhusu, kwa sisi wapigaji Serengeti hali inaruhusu na kwa Wa misingi kiuno hali inaruhusu kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app