Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,573
- 19,456
kwani ulilazimishwa ulitoa rushwa ili kufungua account au ulitaka kutumai ile filosofi ya penye udhia penyeza lupia.
Hiyo tabia ya kupenyeza lupia ndiyo iliyochangia pia kukua kwa rushwa hapa nchini. Wakati wa 'vita ya uhujumu" wahindi (nataja kabila kama ambavyo ningesema wachaga- sina maana ya ubaguzi) walitumia sana hiyo lupia ili kujilinda wao na mali zao. Kuanzia hapo rushwa ikawa tatizo la kudumu nchini ambalo limekuwa likikua hadi kufikia kiwango cha tujisenti.
Usipenyeze lupia penye udhia, bali paache pajiozee. tafuta benki nyingine, zipo nyingi tu mjini.
Hiyo tabia ya kupenyeza lupia ndiyo iliyochangia pia kukua kwa rushwa hapa nchini. Wakati wa 'vita ya uhujumu" wahindi (nataja kabila kama ambavyo ningesema wachaga- sina maana ya ubaguzi) walitumia sana hiyo lupia ili kujilinda wao na mali zao. Kuanzia hapo rushwa ikawa tatizo la kudumu nchini ambalo limekuwa likikua hadi kufikia kiwango cha tujisenti.
Usipenyeze lupia penye udhia, bali paache pajiozee. tafuta benki nyingine, zipo nyingi tu mjini.