Barcelona Vs Real Madrid

Barcelona Vs Real Madrid

ni bora ufungwe na timu kubwa kuliko chelsea inayoelekea kupotea..
 
Angalia usijepiga wenzako mateke hapo!

umejuajee..yan nimekuwa mdogoo... stress tupu.. Kesho utackia Messi frimaso wanamdai ndomana hafung nwdays..duh cjuw ijayo itakuweje maana team zangu zote! Duh
 
Na cristiano atakuwa kafurah zaid kumfunga messi..
Messi mus'b so down rytnw,..dah
 
Guardiola anashindwa kujenga timu endelevu! Amekuwa anawategemea wachezaji wale wale aliyoachiwa na Rijkaard ambao umri umefika ukingoni. Tangu achukue timu kasajili wachezaji wa hivi hivi tu
 
Ku****** ******* ooooooo!

Namaanisha;

Kunakozama, ndiko kunakoibuka. Upooooo!

na hizo ni laana za ac milan kuvunjwa nguvu na chengine watashambulia sana J4 iliwashinde ndipo watakapo tolewa kwa kaunta na sasa hiv naona watu hawa waingizi ndani ya 18 kabisa maana kwa kubebwa ni noma..

pole zako kama wewe ni barcerefalona..
 
what a score!!...
leo madrid kashinda gemu yake ya 87
leo madrid imeanza kufunga goli dk 17
leo madrid imapata goli la ushindi toka kwa # 7
leo madrid imeipita barca kwa point 7

hii saba ina mambo si kidogo..
ni hayo tu..
 
Mie leo sikuungalia kabisa mpira.....!

Hata hivyo matokeo yamenifurahisha saana!!
 
what a score!!...
leo madrid kashinda gemu yake ya 87
leo madrid imeanza kufunga goli dk 17
leo madrid imapata goli la ushindi toka kwa # 7
leo madrid imeipita barca kwa point 7

hii saba ina mambo si kidogo..
ni hayo tu..

Teh teh naona umekuwa mrithi wa yule mzee wa pale Mwembechai
 
what a score!!...
leo madrid kashinda gemu yake ya 87
leo madrid imeanza kufunga goli dk 17
leo madrid imapata goli la ushindi toka kwa # 7
leo madrid imeipita barca kwa point 7

hii saba ina mambo si kidogo..
ni hayo tu..

Pia Khedira na Ronaldo kila mmoja jina lake lina herufi 7
 
Realmadrid 2 barcelona 01
naamini wenye shida za ndoa mko tayari kuja kwangu kuwatabiria maisha yenu ya baadae
game ilishachezwa kama nilivyosema matokeo hayo mapema nashangaa kwa nini watu wanahangaika duniani
 
Back
Top Bottom