acha ujinga we fala, mtamfanya nini nyie malofa? Ungejua wajinga kama wewe katika Simba hamzidi 1000Na hasiposginda hiyo mechi hakika patachimbika. Utatueleza hiyo Nani kawamilikisha. In Kilomon's voice
Jibu la ukweli sanaBaada ya msemaji wa Simba, Haji Manara kumtuhumu mkurugenzi wake kuwa na chuki dhidi yake na kutoa madai kadha wa kadha, Barbara amejibu kwa sasa akili yake iko kwenye mchezo wa Jumapili dhidi ya watatni wao Yanga.
Pia, soma> Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta
View attachment 1863072
barbara Hana mchango wowote kwenye Ushindi wa jumapili, yeye aendelee kumburudisha kimahaba gabacholiBaada ya msemaji wa Simba, Haji Manara kumtuhumu mkurugenzi wake kuwa na chuki dhidi yake na kutoa madai kadha wa kadha, Barbara amejibu kwa sasa akili yake iko kwenye mchezo wa Jumapili dhidi ya watatni wao Yanga.
Pia, soma> Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta
View attachment 1863072
Unamuonea wivu?barbara Hana mchango wowote kwenye Ushindi wa jumapili, yeye aendelee kumburudisha kimahaba gabacholi
Hizo ni mind games kuelekea kuivunja vunja utopolo jumapili lake Tanganyika nitakwepa Leo naanza safari
Hao ni mbumbumbu tu πππ zinapotea rabsha kama hizi, huwa wanajikuta wapo njia panda! Hawaelewi waende kushoto au kulia!kwa hiyo wanasimba wako upande gani kwenye hii vita kwa demu au kwa men?
Kwa hiyo tuhitimishe kwamba simba hawajielewi?Hao ni mbumbumbu tu πππ zinapotea rabsha kama hizi, huwa wanajikuta wapo njia panda! Hawaelewi waende kushoto au kulia!
Angalia suala la Mzee Kilomoni vs Moo, Kigwangala vs Moo, nk.
Baada ya msemaji wa Simba, Haji Manara kumtuhumu mkurugenzi wake kuwa na chuki dhidi yake na kutoa madai kadha wa kadha, Barbara amejibu kwa sasa akili yake iko kwenye mchezo wa Jumapili dhidi ya watatni wao Yanga.
Pia, soma> Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta
View attachment 1863072
Kwa pisi.Kwa hiyo wanasimba wako upande gani kwenye hii vita kwa demu au kwa men?