mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,731
Kaka mbona we hukusubiri wakati wako wa kuingia EALA wakati unajua mama ako wa kambo na kibajaji hawapatanibna CCM(magamba)wenzako ? Au ndo funika kombe...'Kuwa na subira pia maana Kibajaj nae kakukalia mbaya, anasema aishindwa babu hata mjukuu haezi
- Mbona mna kiu sana ya madaraka mpaka mko radhi kuingia mseto, si msubiri tu zamu ikifika wananchi watawachagua, mntaka kuua upinzani sasa mkishakuwa kama CUF mnakuwa sio Upinzani tena ati!, MSUBIRI TU HAMASISHENI WANANCHI KUNA SIKU ITAFIKA ILA KWA SASA BADO!
William.