Baraza mseto la mawaziri

Baraza mseto la mawaziri

Kaka mbona we hukusubiri wakati wako wa kuingia EALA wakati unajua mama ako wa kambo na kibajaji hawapatanibna CCM(magamba)wenzako ? Au ndo funika kombe...'Kuwa na subira pia maana Kibajaj nae kakukalia mbaya, anasema aishindwa babu hata mjukuu haezi
- Mbona mna kiu sana ya madaraka mpaka mko radhi kuingia mseto, si msubiri tu zamu ikifika wananchi watawachagua, mntaka kuua upinzani sasa mkishakuwa kama CUF mnakuwa sio Upinzani tena ati!, MSUBIRI TU HAMASISHENI WANANCHI KUNA SIKU ITAFIKA ILA KWA SASA BADO!


William.
 
- Sio lazima tuige kila kitu cha US na infact wao siasa sio uadui kama sisi, sasa ukiingia mseto tu maana yake sasa mnakuwa CUF, yaani dead! Tunahitaji upinzani ili kurekebisha mambo kama ilivyo sasa!


William.

Serikali mahuluti hazipo Marekani tu! Hata kwingineko zipo. Ila pia ni kweli si lazima tuige kila kitu...
 
Ray LaHood ni Republican na sasa ndiye Secretary of Transportation...kwenye utawala wa Barack Obama (Democrat)

Norman Mineta ni Democrat na alikuwa Secretary of Transportation kwenye baraza la mawaziri kipindi cha utawala wa Raisi George W. Bush (Republican) kuanzia 2001 hadi 2006...

William Cohen ni Republican na alikuwa Secretary of Defense kwenye kipindi cha utawala wa Raisi Bill Clinton (Democrat) kuanzia mwaka 1997 hadi 2001...

Yo Dude!...........right on target!!....Robert Gates alikuwemo ndani ya nyumba ya Obama.....welcome back dude!.........
 
- Mbona mna kiu sana ya madaraka mpaka mko radhi kuingia mseto, si msubiri tu zamu ikifika wananchi watawachagua, mntaka kuua upinzani sasa mkishakuwa kama CUF mnakuwa sio Upinzani tena ati!, MSUBIRI TU HAMASISHENI WANANCHI KUNA SIKU ITAFIKA ILA KWA SASA BADO!


William.
Hujanielewa hata chembe. Napinga kwa nguvu zangu zote kwa Chadema kuingia kwenye mseto na serikali ya kihuni ya Kikwete. Niseme mara ngapi? Kiu sana ya madaraka hapo iko wapi? Nisome taratibu.
 
IFIKE MAHALI TUWE NA HILI KUWA UWAZIRI SI KAZI YA KUPEWA NA RAIS MTU AGOMBEE BUNGENI AWEKWE KWENYE KIYI MOTO ATUELEZE NI KWA NINI ANAOUMBA KUWA WAZIRI FULANI WAGOMBEE WATUELEZE MIKAKATI YAO YA KUONGOZA HIZO WIZARA, LAKINI HILI LA KATIBA LA KUMFANYA RAIS ATEUE MARAFIKI NA NDUGU ZAKE HALITAIFIKISHA NCHI HII PPOTE MAANA WATEULIWA WENGI NI WATU WENYE NJAA KALI YA KUTAKA KUJITAJIRISHA NA SIO KUWANEMESHA WADANGANYIKA!!!


KAMA TUTAENDELEA NA MTINDO HUU WA RAIS KUTEUA BASI, iSIWE DHAMBI MTU YEYEOTE ANAETAKA KUTEULIWA KUWA WAZIRI ANAWEZA KUMPIGIA SIMU AU KUMUOMBA RAIS AMTEUE ILI AONGOZE WIZARA FULANI NA AMWAMBIE KWA NINI ANATAKA IWE HIVYO,


PIA KWA KUWA KUNA WABUNGE WENGINE WANAINGIA BUMGENI KWA AJALI MFANO HAMIS KIGWAGALA WA NZEGA, BASI SI VIZURI MBUNGE KUWA WAZIRI MAANA INAPOTEZA MAANA HALISI YA BUNGE KAMA MHIMILI WA KUSIMAMIA SERIKALI NA HAS PALE UNAPOKUWA NA WABUNGE WENGI WA CCM AMBAO NI WAJINGA ZAIDI(ignorant and unconscious wa CIVICS) KULIKO KIGWAGALA. YEYE AMEJIWEKA WAZI LAKINI WENGINE NI ZAIDI YAKE
 
Hujanielewa hata chembe. Napinga kwa nguvu zangu zote kwa Chadema kuingia kwenye mseto na serikali ya kihuni ya Kikwete. Niseme mara ngapi? Kiu sana ya madaraka hapo iko wapi? Nisome taratibu.

- Hukusomeaka hivyo kwenye hoja yako, mwanzoni hukuwa na uhakika kama hutaki au unataka sasa unaeleweka, HOWEVER; hoja kwamba Serikali ya sasa ni ya kihuni sio tu kwamba ni misleading, bali inatushusha hadhi wananchi wote wa hili taifa kwamba ni wahuni Rais akiwa muhuni huchaguliwa na wananchi wahuni, samahani sana nimemchagua Rais wa sasa lakini mimi sio mhuni!

- Na wale wote wasiokubaliana na mawazo yenu ile awamu ya kwanza, sio wahuni ila ndio Demokrasia, inaelweka siasa zenu za chama kimoja, kwamba kila mwananchi lazima akubali yenu tu, hapana sasa tuna Rais anayejali mawazo ya wote, juzi ameambiwa mawaziri hawafai amekubali sio kuanza kwena kuongea na Wazee wa Dar-Es-Saalam!, na kudai Ukombozi wa Africa kwanza huku sisi wenyewe tunakufa na njaa!

William.
 
Kaka mbona we hukusubiri wakati wako wa kuingia EALA wakati unajua mama ako wa kambo na kibajaji hawapatanibna CCM(magamba)wenzako ? Au ndo funika kombe...'Kuwa na subira pia maana Kibajaj nae kakukalia mbaya, anasema aishindwa babu hata mjukuu haezi

- Kwenye siasa tunaita kelele za mlango huwa hazizuii watu ndani kulala! ha! ha!

William.
 
Mimi nadhani tumwache Kikwete azame na meli yake. Nitasikitika na kushangaa kama Chadema watakubali kuingia kwenye serikali inayoongozwa na huyu jamaa.

- Kwenye siasa hasa za taifa hii sio hoja ya kukataa!, ila huna uhakika!

William.
 
Kwa kuongezea Robert Gates ni republican lakini ni waziri wa ulinzi wa Obama.

Ray LaHood ni Republican na sasa ndiye Secretary of Transportation...kwenye utawala wa Barack Obama (Democrat) Norman Mineta ni Democrat na alikuwa Secretary of Transportation kwenye baraza la mawaziri kipindi cha utawala wa Raisi George W. Bush (Republican) kuanzia 2001 hadi 2006... William Cohen ni Republican na alikuwa Secretary of Defense kwenye kipindi cha utawala wa Raisi Bill Clinton (Democrat) kuanzia mwaka 1997 hadi 2001...
 
- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!

William.
Mbona Obama alimpa Robert gates wakati ni wa republican umekaa USA lakini hujui kitu kazi kula cha meru tuu
 
Mbona Obama alimpa Robert gates wakati ni wa republican umekaa USA lakini hujui kitu kazi kula cha meru tuu

- Kujua ishu ndogo kama hiyo sio muhimu sana, muhimu ni kujua kwamba ukifanya hivyo hapa kwetu Tanzania automatically unakuwa umeua upinzani, kama ilivyo kwa Zanzibar na CUF!

- At least nakumbuka Zitto, alipopewa kamati ya madini, au umesahau? ha! ha! ha!

William.
 
sasa wewe w j Malecela unafikiri mama yako atachaguliwa kuwa waziri? Mmezoea vyeo sana na wizi za Mali ya umma
 
- Hukusomeaka hivyo kwenye hoja yako, mwanzoni hukuwa na uhakika kama hutaki au unataka sasa unaeleweka, HOWEVER; hoja kwamba Serikali ya sasa ni ya kihuni sio tu kwamba ni misleading, bali inatushusha hadhi wananchi wote wa hili taifa kwamba ni wahuni Rais akiwa muhuni huchaguliwa na wananchi wahuni, samahani sana nimemchagua Rais wa sasa lakini mimi sio mhuni!

- Na wale wote wasiokubaliana na mawazo yenu ile awamu ya kwanza, sio wahuni ila ndio Demokrasia, inaelweka siasa zenu za chama kimoja, kwamba kila mwananchi lazima akubali yenu tu, hapana sasa tuna Rais anayejali mawazo ya wote, juzi ameambiwa mawaziri hawafai amekubali sio kuanza kwena kuongea na Wazee wa Dar-Es-Saalam!, na kudai Ukombozi wa Africa kwanza huku sisi wenyewe tunakufa na njaa!

William.
Kaisome tena. Thread yangu ya kwanza kabisa nimepinga Chadema kuingia kwenye mseto na Kikwete. I said that from the beginning wewe unakuja eti tuna haraka gani. Next time soma thread ya mtu kwa umakini kabla ya kurukia jibu lisilo na mshiko. I oppose Chadema to join Kikwete in any coalition at any time and I have not flinched.
 
Mimi nadhani tumwache Kikwete azame na meli yake. Nitasikitika na kushangaa kama Chadema watakubali kuingia kwenye serikali inayoongozwa na huyu jamaa.

This is what I said from the beginning. Thread number #10.
 
Mimi nadhani tumwache Kikwete azame na meli yake. Nitasikitika na kushangaa kama Chadema watakubali kuingia kwenye serikali inayoongozwa na huyu jamaa.

- Jasusi sijawahi kukurupuka hata siku moja haya ndio maneno yako ya kwanza, ninasema hivi kwa siasa za taifa, maana yake sio kukataa ila ni kuwa huna uhakika!

William.
 
- Jasusi sijawahi kukurupuka hata siku moja haya ndio maneno yako ya kwanza, ninasema hivi kwa siasa za taifa, maana yake sio kukataa ila ni kuwa huna uhakika!

William.
Hivi, ina maana gani mtu akisema "nitasikitika na kushangaa kama Chdema watakubali.." Je hiyo ni dalili ya kuharakisha? Siyo dalili ya mtu kutokubaliana na hoja zilizotolewa na mtoa mada kuhusu serikali ya mseto? Basi afadhali mimi ndiye nirudi shuleni nijifunze kujieleza kwa ufasaha zaidi, kwa sababu kama sieleweki kwa lugha rahisi kama hii....
 
Mimi nadhani tumwache Kikwete azame na meli yake. Nitasikitika na kushangaa kama Chadema watakubali kuingia kwenye serikali inayoongozwa na huyu jamaa.

This is what I said from the beginning. Thread number #10.

I agree...let him sink with his own ship! No need to join him or his sinking ship.
 
Back
Top Bottom