Tofautisha NECTA na MCT, kwanza MCT hawakuundwa kwa ajili ya kutoa mitihani, NECTA ni chombo cha mitihani. NECTA ipo kwa ajili ya mitihani, isipofanyika kuna madhara, MCT mitihani isipofanyika hakuna madhara kwa sababu haikuwepo tangu enzi. Hata nchi za Wenzetu hawana Ujinga huu.