baraza la mawaziri

wakati wananchi wana mategemeo labda mbunge wao atakuwepo kwenye baraza jipya la mawaziri sisi wa korogwe vijijini hatuna chetu mbunge wetu ni mbumbumbu ile mbaya wala hajui kilicho mpeleka bungeni

Si mlimchagua wenyewe. kama hukuwa miongoni mwao anza kupiga chini chini mpaka 2015 kielweke. hapo korogwe kuna kakijiji kanaitwa Makuyuni nina ndugu kibao na wengine Madumu na Chekelei na nimepanga ntawatobozea niwaambie waache ujuha.

ILA NDUGU ZANGU MSIHOFU MKUU WA KAYA ATAANZISHA WIZARA YA UNAJIMU chini ya mbunge wenu na Sheikh
 
Back
Top Bottom