Philipo Mulugo: Nashauri Rais avunje Baraza la Mawaziri kwakuwa Wameahindwa kuwawajibisha wabadhilifu wa mali za umma

nashicha

JF-Expert Member
May 29, 2021
279
517
Kutokana na ubadhirifu uliopo kwenye serikali mbunge Mulugo amemwomba Rais alivunje Baraza la mawazi na kuliunda upya maana watendaji wanajichukulia pesa kama shamba la bibi hakuna usimamizi wa pesa za wananchi.

--
Katika mjadara mzito unao endelea huko Bungeni Dodoma kuhusu ripoti ya CAG, Mbunge wa jimbo la Songwa Mhe. Philipo Mulugo Ameshauri Rais avunje baraza la Mawaziri kwakuwa Wameahindwa kuwawajibisha wabadhilifu wa mali za umma.

 
Kutokana na ubadhirifu uliopo kwenye serikali mbunge Mulugo amemwomba Rais alivunje Baraza la mawazi na kuliunda upya maana watendaji wanajichukulia pesa kama shamba la bibi hakuna usimamizi wa pesa za wananchi
Hivi makonda alikuwa anauliza report gani siachukue hii ya CAG.

Mbuge anatakiwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri mkuu au Rasi sio kuomba mtu yoyote,sijui wanatuonaje.
 
Hivi makonda alikuwa anauliza report gani siachukue hii ya CAG.

Mbuge anatakiwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri mkuu au Rasi sio kuomba mtu yoyote,sijui wanatuonaje.
enzi za magufuli hao mawaziri waliozembea kuchukua hatua kudhibiti ubadhirifu wangeambiwa wazitapike hizo fedha. Yule mwamba alikuwa harembi ukivurunda unawekwa benchi ukasubiri uteteuzi mwingine
 
Kutokana na ubadhirifu uliopo kwenye serikali mbunge Mulugo amemwomba Rais alivunje Baraza la mawazi na kuliunda upya maana watendaji wanajichukulia pesa kama shamba la bibi hakuna usimamizi wa pesa za wananchi.

--
Katika mjadara mzito unao endelea huko Bungeni Dodoma kuhusu ripoti ya CAG, Mbunge wa jimbo la Songwa Mhe. Philipo Mulugo Ameshauri Rais avunje baraza la Mawaziri kwakuwa Wameahindwa kuwawajibisha wabadhilifu wa mali za umma.

View attachment 2802738
Namba moja ndo ameshindwa kazi tatizo amna wa kumwambia ukweli
 
Kutokana na ubadhirifu uliopo kwenye serikali mbunge Mulugo amemwomba Rais alivunje Baraza la mawazi na kuliunda upya maana watendaji wanajichukulia pesa kama shamba la bibi hakuna usimamizi wa pesa za wananchi.

--
Katika mjadara mzito unao endelea huko Bungeni Dodoma kuhusu ripoti ya CAG, Mbunge wa jimbo la Songwa Mhe. Philipo Mulugo Ameshauri Rais avunje baraza la Mawaziri kwakuwa Wameahindwa kuwawajibisha wabadhilifu wa mali za umma.

View attachment 2802738
Pole mulugo,lakini Rais wa Sasa ndiyo bomu kabisa,hawezi vunja Baraza huyo.
 
Back
Top Bottom