nadhani baraza lake la mawaziri litakuwa na sura kama hii:
rais atafuta baadhi za wizara na zingine kuziunganisha na atakuwa na baraza dogo sana!!!!
1) waziri mkuu-
2) mambo ya nje na uhusiano wa EA-
3) fedha na uchumi-
4( sheria na katiba (mambo ya ndani kufutwa)-
5) ulinzi-
6) elimu-
7) kilimo, mifugo na uvuvi-
8) kazi na maendeleo ya jamii-
9) afya na mazingira-
10) ardhi, mawasiliano na miundo mbinu-
11) madini, mali asili na utalii
12) utamaduni,wanawake, na watoto
Wizara kama habari na michezo azifute na kila wizara iwe ina msemaji wake huku michezo ikisimamiwa na vilabu vyao.
Mambo ya ndani ifutwe na kazi zake zifanywe na wizara ya katiba na sheria.
Hakuna haja ya kuwa na mawaziri wadogo kazi zao zifanywe na makatibu wakuu na kwa hakika serikali itawajibika vilivyo na kupunguza gharama!!!
ombi langu kwa rais ni kuwa awajumuishe wapinzani ktk serikali yake ili kujenga umoja wa kitaifa na kwa kuanzia ampe Lipumba wizara ya fedha na uchumi huku dr. Slaa apewe wizara ya sheria na katiba!!!