Dr.Mbura Senior Member Jun 30, 2009 193 122 Nov 4, 2010 #1 Niko kwenye maombi kumuomba Mungu ili baraza la mawaziri lisiwe na mafisadi papa
Njowepo JF-Expert Member Feb 26, 2008 9,710 2,227 Nov 4, 2010 #3 CCM wana namna yao ya kufanya maamuzi ambayo ni kero kwa wananchi
B Babuyao JF-Expert Member Jun 6, 2009 1,741 272 Nov 4, 2010 #4 Watakosekanaje mafisadi wakati wao ndo wamemweka bosi wetu?
B bojuka Senior Member Sep 9, 2010 128 1 Nov 4, 2010 #5 kwanini wasiwe mafisadi lazima jk atachagua mawaziri watakaohakikisha fedha zilizotumika kwenye kampeni zinarudi kwa nguvu zote.
kwanini wasiwe mafisadi lazima jk atachagua mawaziri watakaohakikisha fedha zilizotumika kwenye kampeni zinarudi kwa nguvu zote.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Nov 4, 2010 #6 Kwenye kura za maoni kwenyewe almost wote walionyesha dalili za ufisadi kwa kuhonga kupita kiasi...na ndio haohao watakaochaguliwa! Mi naona bomba tu, chagueni mapapa maana mtakuwa mnaandaa ushindi mnono sana kwa cgadema hapo 2015
Kwenye kura za maoni kwenyewe almost wote walionyesha dalili za ufisadi kwa kuhonga kupita kiasi...na ndio haohao watakaochaguliwa! Mi naona bomba tu, chagueni mapapa maana mtakuwa mnaandaa ushindi mnono sana kwa cgadema hapo 2015