baraza la mawaziri

baraza la mawaziri

Dr.Mbura

Senior Member
Joined
Jun 30, 2009
Posts
196
Reaction score
128
Niko kwenye maombi kumuomba Mungu ili baraza la mawaziri lisiwe na mafisadi papa
 
CCM wana namna yao ya kufanya maamuzi ambayo ni kero kwa wananchi
 
Watakosekanaje mafisadi wakati wao ndo wamemweka bosi wetu?
 
kwanini wasiwe mafisadi lazima jk atachagua mawaziri watakaohakikisha fedha zilizotumika kwenye kampeni zinarudi kwa nguvu zote.
 
Kwenye kura za maoni kwenyewe almost wote walionyesha dalili za ufisadi kwa kuhonga kupita kiasi...na ndio haohao watakaochaguliwa!
Mi naona bomba tu, chagueni mapapa maana mtakuwa mnaandaa ushindi mnono sana kwa cgadema hapo 2015
 
Back
Top Bottom