Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 253
Jamani mkulu kagoma kutangaza baraza lake lamawaziri hii inaonyesha taswira gani je kumbe bila hao watano kwepo nchi inaweza kusonga mbele tu
Kagoma nani kasema??? Ni wewe tu na kiherehere chako cha kutaka kujua. Ahhahahahahahhahah
si lazima taifa liwe na mawaziri makatibu wanatosha.......inabidi tutengeneze mifumo na mitazamo tofauti.......jamani mkulu kagoma kutangaza baraza lake lamawaziri hii inaonyesha taswira gani je kumbe bila hao watano kwepo nchi inaweza kusonga mbele tu
Jamani mkulu kagoma kutangaza baraza lake lamawaziri hii inaonyesha taswira gani je kumbe bila hao watano kwepo nchi inaweza kusonga mbele tu
Nji hii bila mawaziri inawezekana, kwani mpaka sasa tumewamissi?Jamani mkulu kagoma kutangaza baraza lake lamawaziri hii inaonyesha taswira gani je kumbe bila hao watano kwepo nchi inaweza kusonga mbele tu
If their presence cant add value to our lives, their absence will make no difference.
yeah I second you
I third you!
Jamani mkulu kagoma kutangaza baraza lake lamawaziri hii inaonyesha taswira gani je kumbe bila hao watano kwepo nchi inaweza kusonga mbele tu