michezo na sanaa - Mr II
Jinsia na wanawake - Mdee
Fedha - Mchungaji wa Iringa (hazitaibwa)
Mambo ya ndani - akae Lema mpambanaji
Kazi na vijana - John Mnyika
inawezekana pia kuwa hakuna vichwa vya kutosha hahahahahhahhhaa[/
Kwa kuwa rais anaruhusiwa kuteua wabunge 10 tungewapatawafuatao,
Dr azaveri Lwaitama wizara ya elimu na ufundi
Prof Baregu -mambo ya nje
prof Mlambimbiti -kilimo mifugo na chakula