GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Mh. Rais wa JMT Dr. Jakaya M. Kikwete ameisha tangaza baraza lake la Mawaziri. Sasa hebu tupeni hilo la CDM wao wangekuwa na wizara ngapi na mawaziri wangekuwa wakina nani?
1. Waziri Mkuu - F. Mbowe
2. Waziri wa mambo ya nje - F. Ndesamburo
3. Waziri wa Mambo ya Ndani - Zitto Kabwe
4. etc
Haya endeleeni kutaja mawaziri wa CDM tuwaone
1. Waziri Mkuu - F. Mbowe
2. Waziri wa mambo ya nje - F. Ndesamburo
3. Waziri wa Mambo ya Ndani - Zitto Kabwe
4. etc
Haya endeleeni kutaja mawaziri wa CDM tuwaone