Baraza la Mawaziri lililopo haliwezi kutuvusha kwenye mdororo huu wa uchumi

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,881
Hakika inashangaza sana NCHI ya UCHUMI wa KATI inahangaika kutatua CHANGAMOTO za kupanda kwa Bei ya Mafuta na Bidhaa za Vyakula na VIWANDANI.

Changamoto kubwa ni MAWAZIRI wa kumsaidia Mh. RAIS sio Wabunifu hata kidogo

Mawaziri wapo lakini hawana Msaada wowote kwa Aliyewateua Mawaziri wapo KISIASA zaidi kuliko Kiuchumi na Kibunifu.

UONGOZI sio Kusikiliza KERO na SHIDA za Wananchi bali ni Kubuni Njia za kuzuia Kero na Shida za Wananchi zisitokee lakini Viongozi wetu hata wanapoelezwa Shida na Kero za Wananchi bado hawawezi kutatua mpaka Mh. RAIS Aende na Atoe Maelekezo.

Kuna haja Gani ya kuwa na MAWAZIRI wa Aina hiyo? Kuna wakati KATIBU MKUU wa CCM aliwahi kusema Kuna MAWAZIRI MIZIGO ni Kweli Wapo ndio maana Mambo hayaendi.

Kuna Wakati Waziri wa Viwanda alikuwa Anashangaa na haelewi kwanini Bidhaa za Viwandani zimepandishwa kiholela
Nashangaa sana Serikali na BUNGE kukuna Vichwa kwa Ajili ya kupanda Bei ya Mafuta wakati Suala ni KUONDOA UTITIRI WA KODI


Screenshot_20220506-130821_Gallery.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hizo kodi zimeanza leo? Huwezi tatua tatizo kama hili kwa solution za kiboya hivyo
 
Kusema kweli hatuna pro-active viongozi. Wanakaa kusubiri kero badala ya kuzuia kero na kuboresha maisha ya sasa na vizazi vijavyo!. Hawa si viongozi bali ni walinzi wa maslahi yao ya leo.
 
Kwa mfumo tulionao shida sio Mawaziri shida ni aina ya Rais, upeo wake, mission, vission na nini vipaumbele vyake... mama anaruhusu sana wengine kuwaza kwa niaba yake....anakwambia urais ni taasisi... wapo watafanya... unabaki kushangaa tu.
 
Hakika inashangaza sana NCHI ya UCHUMI wa KATI inahangaika kutatua CHANGAMOTO za kupanda kwa Bei ya Mafuta na Bidhaa za Vyakula na VIWANDANI.

Changamoto kubwa ni MAWAZIRI wa kumsaidia Mh. RAIS sio Wabunifu hata kidogo

Mawaziri wapo lakini hawana Msaada wowote kwa Aliyewateua Mawaziri wapo KISIASA zaidi kuliko Kiuchumi na Kibunifu.

UONGOZI sio Kusikiliza KERO na SHIDA za Wananchi bali ni Kubuni Njia za kuzuia Kero na Shida za Wananchi zisitokee lakini Viongozi wetu hata wanapoelezwa Shida na Kero za Wananchi bado hawawezi kutatua mpaka Mh. RAIS Aende na Atoe Maelekezo.

Kuna haja Gani ya kuwa na MAWAZIRI wa Aina hiyo? Kuna wakati KATIBU MKUU wa CCM aliwahi kusema Kuna MAWAZIRI MIZIGO ni Kweli Wapo ndio maana Mambo hayaendi.

Kuna Wakati Waziri wa Viwanda alikuwa Anashangaa na haelewi kwanini Bidhaa za Viwandani zimepandishwa kiholela
Nashangaa sana Serikali na BUNGE kukuna Vichwa kwa Ajili ya kupanda Bei ya Mafuta wakati Suala ni KUONDOA UTITIRI WA KODI


View attachment 2214875

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Tatizo lingine ni mawaziri kutoka bungeni, wabunge ambao upatikanaji wao hauna uhusiano na weledi, uwezo wala viwango. No wonder elimu inashuka, kila kitu kinaharibika, na wao wakiendekeza migawanyiko na umamluki kana kwamba hawazai watoto.
 
Bakhresa mwenyewe sasa ni mtu mzima ila ana wanae wenye weledi na upepo ndio walioukuza mtaji wake na kuunda taasisi imara!
Naongelea hivyo kwasababu ni Successful Businessman huyu Mnyiramba wa Kiomboi hajawahi kufanikisha lolote.
 
Hakika inashangaza sana NCHI ya UCHUMI wa KATI inahangaika kutatua CHANGAMOTO za kupanda kwa Bei ya Mafuta na Bidhaa za Vyakula na VIWANDANI.

Changamoto kubwa ni MAWAZIRI wa kumsaidia Mh. RAIS sio Wabunifu hata kidogo

Mawaziri wapo lakini hawana Msaada wowote kwa Aliyewateua Mawaziri wapo KISIASA zaidi kuliko Kiuchumi na Kibunifu.

UONGOZI sio Kusikiliza KERO na SHIDA za Wananchi bali ni Kubuni Njia za kuzuia Kero na Shida za Wananchi zisitokee lakini Viongozi wetu hata wanapoelezwa Shida na Kero za Wananchi bado hawawezi kutatua mpaka Mh. RAIS Aende na Atoe Maelekezo.

Kuna haja Gani ya kuwa na MAWAZIRI wa Aina hiyo? Kuna wakati KATIBU MKUU wa CCM aliwahi kusema Kuna MAWAZIRI MIZIGO ni Kweli Wapo ndio maana Mambo hayaendi.

Kuna Wakati Waziri wa Viwanda alikuwa Anashangaa na haelewi kwanini Bidhaa za Viwandani zimepandishwa kiholela
Nashangaa sana Serikali na BUNGE kukuna Vichwa kwa Ajili ya kupanda Bei ya Mafuta wakati Suala ni KUONDOA UTITIRI WA KODI


View attachment 2214875

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mi naona linafaa sana. Wengi wao walipita bila kupingwa.

Waendelee hadi 2030
 
Tatizo lingine ni mawaziri kutoka bungeni, wabunge ambao upatikanaji wao hauna uhusiano na weledi, uwezo wala viwango. No wonder elimu inashuka, kila kitu kinaharibika, na wao wakiendekeza migawanyiko na umamluki kana kwamba hawazai watoto.
Hapa ndipo tulipokwama.

CCM mbere kwa mbere
 
Naongelea hivyo kwasababu ni Successful Businessman huyu Mnyiramba wa Kiomboi hajawahi kufanikisha lolote.
Naunga mkono kwa hilo hasa ukizingatia kuwa watu wapo ambao Rais anaweza kuwatumia vizuri zaidi kwenye hiyo nafasi ya waziri wa fedha . Mwigulu has failed lakini ndio hivyo mama haoni wala hasikii kilio cha wananchi!
 
Kwa mfumo tulionao shida sio Mawaziri shida ni aina ya Rais, upeo wake, mission, vission na nini vipaumbele vyake... mama anaruhusu sana wengine kuwaza kwa niaba yake....urais ni taasisi... wapo watafanya
Tatizo sio mama ni mfumo wa utawala wa nchi kuna haja ufumuliwe na tupate katiba mpya
 
Wanashindwa au wanaogopa kufanya maamuzi magumu.

Ubora wa kiongozi unaonekana kwenye matatizo.

Sasa kama hakuna anayesimama kulitetea Taifa nyakati ngumu basi imekula kwetu ni Mungu tu aingilie kati.
 
Back
Top Bottom