britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
UPDATES
Ameongezeka Kitila Mkumbo
Mwigulu kapewa ilomegwa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
UPDATES
Ameongezeka Kitila Mkumbo
Mwigulu kapewa ilomegwa