Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca

UPDATES
Ameongezeka Kitila Mkumbo
Mwigulu kapewa ilomegwa
 
Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbali mbali


Je BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Hapo kwa makamba labda kama anapelekwa sehemu nyingine nzuri zaidi lakini sio kuwekwa bench , mtoto mpendwa
 
Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbali mbali


Je BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
 
Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbali mbali


Je BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Umetumwa na Makamba na Mbalawa ili uwatetee na kuwanusuru.
 
Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbali mbali


Je BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca

Unarusha watu roho na moyo, si ungesubiri Eid ipite jamani
 
IMG_5913.jpg
 
Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbali mbali


Je BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Mwigulu anabaki au anaondoka!?
 
Back
Top Bottom