Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
wewe unadhania kuomba msamaha ndiko kutafuta chuki ya muislamu kwa mkristo? Ndio maana wamarekani hawakuomba radhi kwa wamisri kwa ile filamu ya kukashifu dini yao. nakusifu kwa kufanya jambo la maana ila umelifanya kwa watu walio kula kiapo cha chuki kwako maisha yao yote.