barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Kitu kimoja namkubali JPM, anakuchana tu, ili mradi anasema ukweli.Rais magufuli amezungumza hayo wakati akizindua radar katika uwanja wa ndege wa JK nyerere leo hii,pia amesema kuwa uchumi wa nchi yetu imekua kwa asilimia saba.
Kwa kumbukumbu zangu sikusikia waraka wowote wala kulaani kokote kutoka KKKT.