Baraza Jipya: Pongezi kwa JamiiForums, WanaJF watatu(VERIFIED) waukwaa uwaziri

Nilikuwa natamani siku zote mhongo arudishwe kwenye wizara ileile ya nishati na Madini na lukuvi amalizie Kazi aliyoianza. Nilitamani Mwakyembe, January, kigwangara, nchemba wawemo. Cha kufurahisha ni uwepo wa Anthony Mavunde kwenye wizara inayohusu vijana. Thanks Magufuli! Wakafanye Kazi na wasikuangushe.

Mi kanikosha kwa muhongo lukuvi na huyo mavunde kama ndio yule dogo wa dodoma namkubali mno!
 
Haaa haaaa kuna majipu hayatumbuliki duh nimewakubali CCM walikua wanamuangalia anavyorukaruka kupoteza muda mwisho wa siku mwenye remote kabadilisha channel,hongera Nape kwa ulipofikia.
 
Kigwangalla alisema kwenye mdahalo wakati wa kampeni kwamba hajawahi kuona wagonjwa wakilala chini katika hospitali hapa nchini!
 
Hao vijana wote ni hazina ya taifa. Tunatarajia wawe marais wa baadae.

HAMY-D labda hujamuelewa Pasco na hakika!!

Pasco kudos mkuu japo umeogopa kuweka kisu kwey mfupa,ukakitupa kwa chini!!

" Japo kuna baadhi yao sisi humu jf
tumekuwa tukiwaonna ni viazi sana, au
ni vilaza tuu!, lakini JPJM amewaona
wanafaa kuwamo!, hivyo ule msemo
wa ganda la mua la jana... ni kweli!,"
 
Last edited by a moderator:
Mi kanikosha kwa muhongo lukuvi na huyo mavunde kama ndio yule dogo wa dodoma namkubali mno!

Hakuna mwingine ni huyohuyo wa Dodoma. Kijana mdogo kapewa majukumu mazito. Ni time yake kuwaprove wrong wale wanaodharau uwajibikaji wa vijana.
 
Back
Top Bottom