Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,980
- 9,558
Kwa kulingana na ilani ya ccm, baraza la mawaziri wa Tanzania litakuwa na mawaziri wasiopungua 47, na kwakuwa huwa wana tabia ya kulipa fadhila, haitatushangaza kusikia hata Mama Salma Kikwete kuwa waziri mojawapo kutokana na kampeni alizokuwa amefanya,
hata Ridhiwani Kikwete naye kupewa nafasi kwa jinsi alivyoendesha kampeni zake.
Baraza litakuwa kama ifuatavyo:
1. Mizengo Pinda/Edward Lowassa - Waziri Mkuu
2. Bernad Membe- Mambo ya Nje
3. Ridhiwan/Masha - Mambo ya Ndani
4. Juma Nkhami/ Mkuchika - Habari na Michezo
5. John Magufuli/Lameck Airo - Uvuvi
Endelezeni..................................
hata Ridhiwani Kikwete naye kupewa nafasi kwa jinsi alivyoendesha kampeni zake.
Baraza litakuwa kama ifuatavyo:
1. Mizengo Pinda/Edward Lowassa - Waziri Mkuu
2. Bernad Membe- Mambo ya Nje
3. Ridhiwan/Masha - Mambo ya Ndani
4. Juma Nkhami/ Mkuchika - Habari na Michezo
5. John Magufuli/Lameck Airo - Uvuvi
Endelezeni..................................