Sasa si utuambie elimu ya Mbowe na Sugu....Wewe unaangalia elimu y darasani? Ok, Mbowe na Sungu elimu yao level gani? Acheni ushabiki. Kuwa waziri lazima uwe mbunge. Sasa huyu salama na ridhiwani ni wabunge?
Sasa si utuambie elimu ya Mbowe na Sugu....
Crashwise achachana na hao mambumbumbu wa ccm ( GeniusBrain, Emt na DMussa ) Mbowe O'level, na Sugu O'level. Tatizo hawa jamaa wa ccm walikuwa wamekariri uongo wa Benson Mpesya wa ccm.
Mbowe kwa sasa ana taaluma ya management ya Biashara na Utawala (BMA).
GeniusBrain heri umemwambia. Mgombea mwenza alikuwa darasa la saba which means kama slaa angeshinda tungekuwa na makamu wa rais ambaye hajaenda shule. Kwangu sioni ubaya wowote lakini Mungi anaona ubaya wa wabunge kuwa na elimu ya darasa la saba. Kwani hao mafisadi wana elimu gani? Inabidi tuwe objective sometimes. Tuko too subjective.
Hasa wewe unaonyesha kabisa ni CCM damu, na jinsi ulivyo hata CHUPI umevaa ya njano au kijani