Hi
Jana mh. Lowassa aliitakia ushindi timu yetu ya taifa kupitia taarifa ya habari ya ITV na hii leo tim yetu imefanikiwa kuigaragaza timu ya Malawi 2-0.
Huyu mh. anaonekana kuwa na baraka sana, shime watanzania tumpe kura..
Magamba watakuja hapa na kudai source.... Hii hapa chini
Raisi amewapa hamasa wachezaji, Magufuli angesema mkifungwa ndio hamna kazi tena.
Kuna mdau aliwahi kusema..Ikulu ni lango kuu la kuingizia baraka
Sasa kaz kwetu wapiga kura!!!! Baraka zishaanza hata kabla
Hi
Jana mh. Lowassa aliitakia ushindi timu yetu ya taifa kupitia taarifa ya habari ya ITV na hii leo tim yetu imefanikiwa kuigaragaza timu ya Malawi 2-0.
Huyu mh. anaonekana kuwa na baraka sana, shime watanzania tumpe kura..
hata mimi ni mpango wa Mungu maana niliitakia sana stars ushindi na kweli imeshinda.
Stupidity, kweli bongo imejaa watu ovyo vichwani.
Bila shaka alimuiga Lowassa maana copy and paste ndo zake"Akiwa jijini arusha Dr magufuli alisema ataendeleza michezo ila mwisho alisema anaitakia ushindi stars coz na yy alikuwa mchezaji golikipa enzi zake
Unaweza kutuambia ni nini alichoiba? na ukishindwa kutuambia NYOOOKOOO!!Umeanza kulipenda Jambazi sugu ulipoambiwa na Mbowe ...... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Magufuli alikuwa live Arusha akiitakia ushindi timu ya Taifa, hukumsikia!??hebu tuache biased unazi!
Sijaongelea maswala ya kusinda au kushindwa ka ukawa... My issue is unakaa mtu mzima kusema taifa sstars wameshinda sababu ya baraka za Lowassa, hehehe imani gani hizo za kijinga?gamba acha kupanik, ukawa itashinda asubuh kweupe
Magufuli hana nyota ya kifalme. Hana kismati zaidi ya lowassaMagufuli alikuwa live Arusha akiitakia ushindi timu ya Taifa, hukumsikia!??hebu tuache biased unazi!
JK, Magu..?!!Sio yule ambaye akienda uwanjani timu inafungwe, ana gundu
Unaweza kutuambia ni nini alichoiba? na ukishindwa kutuambia NYOOOKOOO!!
Sijaongelea maswala ya kusinda au kushindwa ka ukawa... My issue is unakaa mtu mzima kusema taifa sstars wameshinda sababu ya baraka za Lowassa, hehehe imani gani hizo za kijinga?
Dini hai-matter, imani si lazima iwe dini, imani ni imani tu towards kitu fulani, kama wewe unavokaa kuamini Lowassa akitakia timu ushindi basi inashinda. Hiyo kazi waachie watoto we mtu mzimamh! kumbe kuna na imani za kijinga! zinafuatwa na dini gani mkuu?