Yekevalia
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 313
- 178
Enyi wapumbavu na malofa, tuachieni michezo, msilete upuuzi wenu huku.
akili za lumumba, huelewi kinachoongelewa hapa
Enyi wapumbavu na malofa, tuachieni michezo, msilete upuuzi wenu huku.
Hi
Jana mh. Lowassa aliitakia ushindi timu yetu ya taifa kupitia taarifa ya habari ya ITV na hii leo tim yetu imefanikiwa kuigaragaza timu ya Malawi 2-0.
Huyu mh. anaonekana kuwa na baraka sana, shime watanzania tumpe kura..
Enyi wapumbavu na malofa, tuachieni michezo, msilete upuuzi wenu huku.
LOWASA ni GUNDU kuondoka ktk serikali taifa stars inafanya vizuri
ebu acheni upumbavu wenu,lowasa amekus kiongozi wa juu kwa miaka ishirini tena waziri mkuu,kiongozi wa serikali hii ya kipuuzi timu hsikfanya vizuri leo kaondoka timu inafanya vizuri maana huyu ni gundu kabisa kuondoka tu ndani ya serikali timu inafanya vizuri.
Stars imeshinda, imepewa kila la heri na Mh Lowasa. Kweli mwaka wa mabadiliko na ikulu ni lazima nywele nyeupe, moyo mweupe hakuna kinyongo.
Dah Hata Babu Yangu Aliitakia Ushindi Taifa Stars,kwel Babu Yangu Mpango Wa Mungu!!!