Barafu Kubwa Yaonekana

Chamoto

JF-Expert Member
Dec 7, 2007
8,326
17,521
ice.jpg



"An impressive iceberg arrived in Newfoundland's Goose Cove in mid-July. "Icebergs float in from Greenland,"said the photographer, Gene Patey. This one briefly blocked the town's harbor before breaking apart and melting, "but the fishermen took their chances."(Photo: Gene Patey)"
Source Yahoo
 
Hahaha, labda ni global warning ya global warming.

Haya ma block ya barafu yanavyoyayuka kina cha maji baharini kinapanda, tayari wananchi wa visiwa vidogo vingi wanatafuta pa kuhamia kwani visiwa vyao vitakuwa chini ya maji katika miaka michache ijayo. Na miji iliyo pwani inakumbwa na uvamizi wa maji ya bahari.
 
the-maldive-islands.jpg

Haya ma block ya barafu yanavyoyayuka kina cha maji baharini kinapanda, tayari wananchi wa visiwa vidogo vingi wanatafuta pa kuhamia kwani visiwa vyao vitakuwa chini ya maji katika miaka michache ijayo. Na miji iliyo pwani inakumbwa na uvamizi wa maji ya bahari.
Visiwa vya Maldives teyari viko hatarini kutoweka kutokana na uyeyukaji wa barafu.
 
So hawa jamaa zetu wa Zenji wanataka kujitenga, ni km ku commit suicide? au wanajivunia ujuzi wa kuogelea hahahahaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom