Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Kufuatia kumalizika kwa Ziara ya kitalii ya siku nane (08) nchini Tanzania, Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama ameishauri Tanzania kuvitangaza vivutio vyake vya kitalii. Vilevile, ameahidi kuwashawishi marafiki zake nao waje Tanzania kujionea vivutio vyake.
Ushauri huo wa Obama unaendana na jitihada za Serikali ya Rais Magufuli kukuza sekta ya utalii nchini kwa kuamua kufufua Shirika lake la Ndege - ATCL. Dreamliner mpya iliyonunuliwa hivi karibuni, ina nembo ya mnyama Twiga, pamoja na Motto "The Wings of Kilimanjaro."
Mdogo mdogo tu watatuelewa wazee. Peleka Dreamliner huko Guangzhou, Bangkok na Mumbai na uwalete Wachina, Wathailand na Wahindu, then nenda Entebbe na Bujumbura uwalete pia Waganda na Warundi kwetu. Ilete Dunia yote nchini Tanzania.
Ushauri huo wa Obama unaendana na jitihada za Serikali ya Rais Magufuli kukuza sekta ya utalii nchini kwa kuamua kufufua Shirika lake la Ndege - ATCL. Dreamliner mpya iliyonunuliwa hivi karibuni, ina nembo ya mnyama Twiga, pamoja na Motto "The Wings of Kilimanjaro."
Mdogo mdogo tu watatuelewa wazee. Peleka Dreamliner huko Guangzhou, Bangkok na Mumbai na uwalete Wachina, Wathailand na Wahindu, then nenda Entebbe na Bujumbura uwalete pia Waganda na Warundi kwetu. Ilete Dunia yote nchini Tanzania.