ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Good morning majungu industry!Kiwanda cha Mataahira Lumumba.
Good morning majungu industry!Kiwanda cha Mataahira Lumumba.
Mama Tanzania atakubariki kwa kuwa umembariki!
Hiki kitendawili majamaa wengi hawaipati!
Hakika nchi yetu itaendelea sana na sky is not a limit in our country!
Majumba yanajengwa kila kona!
Investors wanafurika!
Last week nimeingia mkataba na watu wa Finland!
Big project walahi!
Focus people!
Tourism ndiyo lazima itapanda sana maana nchi zote za Africa hakuna palipo na amani kama kwa MAMA TANZANIA walahi!
Kufuatia kumalizika kwa Ziara ya kitalii ya siku nane (08) nchini Tanzania, Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama ameishauri Tanzania kuvitangaza vivutio vyake vya kitalii. Vilevile, ameahidi kuwashawishi marafiki zake nao waje Tanzania kujionea vivutio vyake.
Ushauri huo wa Obama unaendana na jitihada za Serikali ya Rais Magufuli kukuza sekta ya utalii nchini kwa kuamua kufufua Shirika lake la Ndege - ATCL. Dreamliner mpya iliyonunuliwa hivi karibuni, ina nembo ya mnyama Twiga, pamoja na Motto "The Wings of Kilimanjaro."
Mdogo mdogo tu watatuelewa wazee. Peleka Dreamliner huko Guangzhou, Bangkok na Mumbai na uwalete Wachina, Wathailand na Wahindu, then nenda Entebbe na Bujumbura uwalete pia Waganda na Warundi kwetu. Ilete Dunia yote nchini Tanzania.
Muanzisha thread kaboa sana hapo mwisho!Ulijua ume feedback?
Uzi umekaa kishabiki sana
Unadhani kuandika the wings of kilimanjaro ndio kutangaza utalii ?
Hapo mass media lazima itumike pamoja na njia mbali mbali
Emu lipeleke li dream liner lenu china kama wachina watakuja bila ya kuwatangazia kwa vyombo vya habari
NB
sipingi juhudi za maendeleo,lakini inatakiwa lumumba mtumie akili kidogo
TCL. Dreamliner mpya iliyonunuliwa hivi karibuni, ina nembo ya mnyama Twiga, pamoja na Motto "The Wings of Kilimanjaro."
Binafsi sijaona efforts zozote za maana za kutangaza vivutio vyetu vya utalii.Natamani sana kila niki-tune CNN,Aljazeera,CGTN,Kufuatia kumalizika kwa Ziara ya kitalii ya siku nane (08) nchini Tanzania, Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama ameishauri Tanzania kuvitangaza vivutio vyake vya kitalii. Vilevile, ameahidi kuwashawishi marafiki zake nao waje Tanzania kujionea vivutio vyake.
Ushauri huo wa Obama unaendana na jitihada za Serikali ya Rais Magufuli kukuza sekta ya utalii nchini kwa kuamua kufufua Shirika lake la Ndege - ATCL. Dreamliner mpya iliyonunuliwa hivi karibuni, ina nembo ya mnyama Twiga, pamoja na Motto "The Wings of Kilimanjaro."
Mdogo mdogo tu watatuelewa wazee. Peleka Dreamliner huko Guangzhou, Bangkok na Mumbai na uwalete Wachina, Wathailand na Wahindu, then nenda Entebbe na Bujumbura uwalete pia Waganda na Warundi kwetu. Ilete Dunia yote nchini Tanzania.
Mama Tanzania atakubariki kwa kuwa umembariki!
Hiki kitendawili majamaa wengi hawaipati!
Hakika nchi yetu itaendelea sana na sky is not a limit in our country!
Majumba yanajengwa kila kona!
Investors wanafurika!
Last week nimeingia mkataba na watu wa Finland!
Big project walahi!
Focus people!
Tourism ndiyo lazima itapanda sana maana nchi zote za Africa hakuna palipo na amani kama kwa MAMA TANZANIA walahi!
Vilikuwepo tangu awamu ya Mwl. JK Nyerere
Ila nimeona dreamliner moja ya Ethiopian Airline imeandikwa Ngorongoro, sijaelewa wao walilenga nini
Siyo kidogo, mijinga ndiyo inayogambania madaraka ya kuendesha nchi sasa imepewa ni kuvurunda tu kila mahali
Yaani wanachekesha mpaka kusikitisha jumla .Hahahahaha nimechekaaa sana hiyo route mkuu
Yaani wanachekesha mpaka kusikitisha jumla .
Yaani mtu mzima na akili zake anaona ndege itapiga route kama DCM ya Makumbusho- Mbagala via Mawasiliano ubungo, Buguruni,sokota, Chang'ombe, Sudan , Tmk .....
Zero kabisa hii michunga ng'ombe
Huko ufipa tumieni akili zenu kidogo kufanya ukarabati wa banda la ufipa. Tumesema mpaka tumechoka sasa....inatakiwa lumumba mtumie akili kidogo