Kwenye gazeti la The EastAfrican (The future shape of East Africa: What happens when the sleeping giant of Congo - News - www.theeastafrican.co.ke) kuna makala inayoelezea nafasi ya DRC kwenye kubadili uchumi wa Afrika Mashariki. Waandishi wameeleza mengi lakini wameshindwa kabisa kuvumilia kuwa huenda mizigo ya DRC itapitia Tanzania. Kwa hiyo ikabidi wapindishe njia ili ipitie Nairobi. Tazama ramani hapo chini.
The EastAfrican ni moja kati ya magezeti yakipuuzi kabisa.
The EastAfrican ni moja kati ya magezeti yakipuuzi kabisa.