barabara za Tanzania

halafu kuna mijitu humu jf inasifia ukelezaji wa ahadi za dhaifu eti kuna mtambo wa kusema uongo, kume ahadi zimetelekezwa. huko mikoani watu utadhani wapo motoni miaka 50 ya wizi wa magamba
 
Si hatujaanza kuchimba gesi, wewe tulia tukishachimba gesi ni kila kitu kitakaa sawa.Madini mengine walituibia wawekezaji kwa kuwa hatukuwa na wataalam

Yeah, lakini wakati ule Mkapa anawakaribisha jamaa wa kuchimba dhahabu, alisema kuwa mambo yatakuwa mazuri.
Sasa ni miaka 15 hamna kitu, gold zote zinaenda nje kinyemela.
Na vile jamaa zetu washakula 10% kwenye mambo ya mafuta hata kabla ya mafuta yenyewe kuanza kuchimbwa, hali yaweza kuwa hivi hivi kama kwenye maswala ya gold.
 
Yeah, lakini wakati ule Mkapa anawakaribisha jamaa wa kuchimba dhahabu, alisema kuwa mambo yatakuwa mazuri.
Sasa ni miaka 15 hamna kitu, gold zote zinaenda nje kinyemela.
Na vile jamaa zetu washakula 10% kwenye mambo ya mafuta hata kabla ya mafuta yenyewe kuanza kuchimbwa, hali yaweza kuwa hivi hivi kama kwenye maswala ya gold.

Ndo Tanzania nchi ya kitu kidogo,hukumbuki hata prezida ashasema ukitaka kula shurti uliwe hahaha
 
another_very_bad_640_60.jpg

Mkuu Doworld,picha zinatoa picha na kutia hamasa ya kudai maendeleo.
Jamaa wa bodaboda ndo anatoa msaada wa kuvuta gari sio?
 
Barabara zetu za vijijini zilitakiwa ziwe hivi:-
 

Attachments

  • south04.jpg
    south04.jpg
    64.3 KB · Views: 64
Back
Top Bottom