Katika picha ni hali halisi ya barabara ya Rusahunga Rusumo 92km miaka 60 baada ya uhuru.
Kwa hakika nia njema ya kuwa na miundo mbinu kama ya Ulaya - tungali na safari ndefu.
Katika picha ni hali kama ilivyo leo.
Labda pamoja na makelele mengi angalau maji yamemwagwa barabarani:
Nyuma kwenye kiyoyozi ni TANROADS na mbele kwenye pickup ni vibarua mahili kuelekea kazini:
Hali ya barabara nzima inaendelea kuwa hivi:
Picha zaidi kufuata.
Kwa hakika nia njema ya kuwa na miundo mbinu kama ya Ulaya - tungali na safari ndefu.
Katika picha ni hali kama ilivyo leo.
Labda pamoja na makelele mengi angalau maji yamemwagwa barabarani:
Nyuma kwenye kiyoyozi ni TANROADS na mbele kwenye pickup ni vibarua mahili kuelekea kazini:
Hali ya barabara nzima inaendelea kuwa hivi:
Picha zaidi kufuata.