KERO Barabara ya kuelekea Msumi ni mbovu sana kupelekea foleni kila kukicha

KERO Barabara ya kuelekea Msumi ni mbovu sana kupelekea foleni kila kukicha

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Ni kero ya muda mrefu na inaendelea kutuumiza wakazi wa makabe kuelekea Msumi.

Porojo za siasa zimekuwa nyingi huku wananchi wanateseka huku wahusika wakikaa kimya .

Muda huu kuna foleni kubwa sana na njia mbovu .

Mkuu wa wilaya ya Ubungo ahadi zako hazitimizi huku wananchi wanateseka

image.jpg

 
Back
Top Bottom