Jamani Hawa Ma-Engineer wetu vipi ???? Mifereji ya kupitisha maji imejengwa hovyo kwa kiwango ambacho hata mtoto mdogo hakubali, Sio muda mrefu barabara itabomoka kwa mvua.
Jee ni kweli mifereji inatengenezwa na Wa-Tanzania ( Tanroads) na sio KAJIMA ?????
Jee hawa Engineers wetu wanajifanya hawaoni au wamekula kitu kidogo ????
Ubora wa barabara nao Unatia shaka, Hata kama ni Msaada TANROAD wawe makini kufuatilia ubora, baada ya muda mfupi gharama za matengenezo zitarudi kwetu.
MIFEREJI Imebomoka hata miezi 2 bado.
Jee ni kweli mifereji inatengenezwa na Wa-Tanzania ( Tanroads) na sio KAJIMA ?????
Jee hawa Engineers wetu wanajifanya hawaoni au wamekula kitu kidogo ????
Ubora wa barabara nao Unatia shaka, Hata kama ni Msaada TANROAD wawe makini kufuatilia ubora, baada ya muda mfupi gharama za matengenezo zitarudi kwetu.
MIFEREJI Imebomoka hata miezi 2 bado.