Hapa kwetu Tanzania kuna barabara inayofanana na hiyo? Duh, kweli hii hatari.
Hapa Sekenke cha mtoto, sekenke ni dakika tano umeishavukaeheeeeee, kwetu hiyo ni sekenke..
vipi ukiwa ndo wewe una-drive hapo
kaka kwa hii baranara ya Lushoto ni cha mtoto huenda kidogo naweza kufananisha na ile ya Malawi ukitokea Tanzania kupitia Karonga kwenda Mzuzu ,hapo napo gari likidondoka tu ni moja kwa moja hadi kina cha Lake NyasaWakuu wangu hapa kwtu pia ipo. ukienda lushoto kutokea mombo mambo ni hayo hayo. tufanye utalii wa ndani jamani.
kaka kwa hii baranara ya Lushoto ni cha mtoto huenda kidogo naweza kufananisha na ile ya Malawi ukitokea Tanzania kupitia Karonga kwenda Mzuzu ,hapo napo gari likidondoka tu ni moja kwa moja hadi kina cha Lake NyasaWakuu wangu hapa kwtu pia ipo. ukienda lushoto kutokea mombo mambo ni hayo hayo. tufanye utalii wa ndani jamani.
Kweli bolivia hiyo ni barabar ya kifo nawavulia kofia, Hapa kwetu zilikuwepo mpaka sasa Kutoka kiwira Mbeya hadi Mbalizi kupitia Igogwe Hospital bado ipo, Makongorosi chunya bado ipo, Morning site Morogoro sehemu bado ipo kuelekea Bondwa kileleni mlima wa morogogo. sehemu moja upareni-Ugweno ipo lakini wa TZ hakuna anaefikiria jinsi ya kuiboresha mpaka sasa miaka 50 ya Uhuru. Milima ya bolivia ni ya bonde la ufa katika milima ya Andes. Mbinu mya wanatoboa milima. kama ilivyo China, Switzaland ,nk
No! This ain't Tanzania my dear friends. This is Russia!
Angalia hii hali????
Wizara yetu ya miundo mbinu ikiona hivi itajisifu kuwa kuna nafuu TZ mbona wenzao wa Urusi wana shida kama zetu, kwa hiyo tuvumilie (sic)!! Nadhani mtu aliyefanya utafiti huu hakufika TZ na sehemu zingine za Afrika akaona hali iliyopo.
kitonga pale dk10 tu ushavuka kasheshe ipo mombo 2 lushoto yani kama ni 1st time unaweza omba ushuke utembee kwa miguu
Lushoto kiboko lakini wamejitahidi kujenga miti pembeni hata gari ikianguka inazuiwa