Barabara nyingi Dar es Salaam zimejaa mashimo, hivi wahusika hamlioni hili?

Barabara nyingi zilijengwa hapo nyuma lakini zilijengwa chini ya kiwango zikaishia kubomoka...
 
Chalamila ni mtu wa hovyo kuwahi kushika public office.

Huwa anazungumza mambo ya kijinga kijinga tu ili kuchekesha.

Ukuu wa Mkoa.sio Commedy ile ni dhamana.

Akitaka watu wacheke akajiunge na kina joti.
Chalamila ni sawa na mdogo wake tu Makonda, wote ni majanga tupu
 
Yaani inakera na inatia hasira sana kuona mji kama huu una barabara za ovyo namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…