Bara la Afrika lazidi kupasuka vipande

Bara la Afrika lazidi kupasuka vipande

Asavali na sisi tuwe na bara letu ila hawa janjaweed na alshabab.....kaz tunayo.
 
D


Kwa hiyo DRC congo watakua na bandari!?.........kweli Mungu si Juma wala Masanja!!!
Sio DRC tu..Hata Rwanda,Burundi,Uganda, Malawi,Zambia,Zimbabwe na Swaziland watakuwa na bandari.
 
Itakua nafuu kwa nchi za congo zambia zimbabwe malawi kupata bahari
 
asavali limeguke haraka tu maana tumechanganyikana na wajinga wengi
bowlibo kila kitu lazima kiwe na kinyume la sivyo maisha yatakuwa hayana maana wala hizi rank za kibinadamu....ili werevu wajulikane uwepo wao lazima wawepo wajinga n vice versa
 
Haaaaahaaa... nimecheka sana, kuhama na CCM kwenda new AFROASIA CONTINENT ni sawa na kuhama na gunia la siafu. Haina haja ya uchaguzi tena Zanzibar, maana mwisho wake umefika.
 
Itakua nafuu kwa nchi za congo zambia zimbabwe malawi kupata bahari
..hata mgogoro wa kugawana ziwa Nyasa na nchi ya Malawi utakuwa umepatiwa ufumbuzi. Kila nchi itabaki na nusu yake.Na halitakuwa ziwa tena..ila itakuwa sehemu ya bahari ya Red Sea... au Arabian Sea.
 
Haaaaahaaa... nimecheka sana, kuhama na CCM kwenda new AFROASIA CONTINENT ni sawa na kuhama na gunia la siafu. Haina haja ya uchaguzi tena Zanzibar, maana mwisho wake umefika.
hahaaaa hii nimeipenda, haina haja ya uchaguzi maana mwisho wao umeshafika
waanze kuhamia huku bara fasta
 
Back
Top Bottom