kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,733
Sawa kabisa Mkuu. Bar za Hotelini poa sana. Ingawa bei ya bia inakuwa juu kidogo. Safi sana paleUpo sahihi mkuu. Kuna kipindi nilianza kwenda bar za hotelini, huwa tulivu sana mnaongea mziki wa chini.
Sasa unaenda bar ukiamka sauti inakwaruza kisa kuongea kwa sauti. Ila siku hizi niko likizo isiyo na kikomo ya kunywa.