Bao ngapi umewahi kupiga katika historia yako ya mapenzi?

Bao ngapi umewahi kupiga katika historia yako ya mapenzi?

Nilipokuwa balehe ya Kwanza ( miaka 14 hadi 16 ) nilikuwa ' nakojoa ' bao / goli 1 tu ambalo lilikuwa linatoka kwa Kasi kama risasi za AK 47, balehe ya Pili ( miaka 17 hadi 29 ) kusema kweli ' nimekojoa ' sana bao / goli 5 hadi 7 tena mfululizo, balehe ya Tatu ( miaka 30 kuelekea 40 ) naona ' nakojoa ' kwa taabu sana bao / goli 2 na nahisi kabisa kwamba balehe ya Nne na ya Ukingoni mwa maisha ( miaka 41 na kuendelea au infinity ) nitakuwa ' nakojoa ' nusu goli / bao au natoa tu Upepo kama unaopatikana katika ' Pampu ' za Kujazia Baiskeli. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie Mwanao nisiadhirike / nisiumbuke.
Hiyo ni rate sawa kwa walio wengi usijali. But inategemea pia na mwanamke vionjo vyake kitandani
 
Mimi nilikuwa form four na rafiki yangu yupo form three. Wote tulikuwa mtaa mmoja. Tumefunga shule, mtaani kuna harusi, tukaopoa mademu wawili kutoka upande wa bibi harusi. Tukawapeleka kwenye chumba tulimokuwa tunalala, kila MTU na kitanda chake. Tukakubaliana kushindana nani atapiga mabao mengi! Mwenangu alipiga bao kumi na mbili, Mimi niliishia bao 10.
Utafikiri basket ball! khaa!
 
Dah mimi mkuu goli tano hizo zilikuwa kawada ila toka nimeanza tungi kiwango kimeisha kweli nimebakiza ulimi tu ndio nakula visimi kama sina akili nzr
we huli naona unafakamia hasa, kishule shule wanasema unafakaza
 
5 USIKU MZIMA? POLE MKUU, MIMI NILIPGA 9 NON STOP, KUANZIA 12 JION HADI 3 USIKU.. TULIPANGA KULALA PAMOJA ILA AKAGHAIRI GHAFLA, KUSNGZIA MAMA YAKE KARUD. ENZI HZO TUKO HIGH SKULI..
Kipindi hicho ulikua level hiyo sipati picha ulivyomaliza masomo.
 
Mh watu naona mnatililika na mibao mingi mi nakumbuka tangu nimeanza hayo mambo sijui kama nimewahi zidi bao 5 tena n mara chache sana kupga hzo bao

Baada ya kujua kwamba sex ni sanaa sijawahi vuka bao 4 mara nyingi tunaishia 3

Sex sio vita wandugu
 
Bao tisa mtoto mmoja wa kinyakyusa kipindi nasoma NIT nakaa geto mabibo. Hadi leo nikimpigia simu huwa ananiambia hatokaa anisahau maana nilimnyoosha alikojoa hadi akakaukiwa. Alishangaa sana kwanzia saa tano usiku hadi 11 alfajiri box tatu za ndom ziliisha na kilichomuokoa niliishiwa ndom maana nlikuwa simuamini. Na saa mbili nikaingia class hadi jioni fresh
 
Enzi hizo first year UDSM,nikapata kadem kakiTanga Shaymaa anasomaga IFM,aiseee nilipiga vyuma tisa (9) toka saa Nne asubuhi hadi saa mbili usiku, Kimbembe ilikua kupandisha ngazi za HALL 6 alafu nakaa ghorofa ya 3 na amna lifti,nilitumia nusu saa,kuamka kesho yake saa 8 mchana!
Nilijiona mwanaume mashine sana!!
Sasa ungekuwa unalala hall two au V floor ya 11 si ndo ungelala kwa warden?
 
bao nyingi haimanishi ndio uanaume au kumridhisha mwanamke,inafika hatua ukipiga bao nyingi hakitoki kitu yani unafika climax but shahawa hakuna na unachoka unamaliza nguvu.anyway nimewahi fika7 napo sikudhamiria nifike hizo saba mzuka tu,kawaida ikizidi ni tatu au 4
 
Back
Top Bottom