Bao ngapi umewahi kupiga katika historia yako ya mapenzi?

Bao ngapi umewahi kupiga katika historia yako ya mapenzi?

sikumbuki idadi ya magori sababu naishi mwenyewe tu na sikuwahi kuwa na mpenzi, labda nikipata ntaanza kuhesabu rasmi.
 
7 na sijawahi kurudia maana ilikuwa Suicide Mission...ila yule mdada alikuwa haishi hamu.
 
No wonder mademu wakinikimbia maana zangu mwisho mbili ya tatu ujue siku ilikuwa nzuri saaana.Na huwa nashangaa ukipiga moja,anapata usingizi mzito hasa hata cha pili inabidi ubembeleze kidogo
 
Nilipokuwa balehe ya Kwanza ( miaka 14 hadi 16 ) nilikuwa ' nakojoa ' bao / goli 1 tu ambalo lilikuwa linatoka kwa Kasi kama risasi za AK 47, balehe ya Pili ( miaka 17 hadi 29 ) kusema kweli ' nimekojoa ' sana bao / goli 5 hadi 7 tena mfululizo, balehe ya Tatu ( miaka 30 kuelekea 40 ) naona ' nakojoa ' kwa taabu sana bao / goli 2 na nahisi kabisa kwamba balehe ya Nne na ya Ukingoni mwa maisha ( miaka 41 na kuendelea au infinity ) nitakuwa ' nakojoa ' nusu goli / bao au natoa tu Upepo kama unaopatikana katika ' Pampu ' za Kujazia Baiskeli. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie Mwanao nisiadhirike / nisiumbuke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu kumbe sipo mwenyewe.
 
Nakumbuka miaka ya 2000, nilikuwa ndio kwanza nimeoa, halafu mchepuko wangu nilikuwa bado nampenda, hivyo nilikuwa napiga bao 3 mchepuko, nikirudi home napiga bao 3 nalala,halafu asubuhi napiga bao 1 au 2.
Mna nguvu
 
Mimi nilikuwa form four na rafiki yangu yupo form three. Wote tulikuwa mtaa mmoja. Tumefunga shule, mtaani kuna harusi, tukaopoa mademu wawili kutoka upande wa bibi harusi. Tukawapeleka kwenye chumba tulimokuwa tunalala, kila MTU na kitanda chake. Tukakubaliana kushindana nani atapiga mabao mengi! Mwenangu alipiga bao kumi na mbili, Mimi niliishia bao 10.
Mlikuwa hamchoki?
 
Mi lakwanza halichukui round la pili linaweza vuta mpaka dk 30 hadi 45, la tatu papuchi inakuwa ya moto naanza kuombwa poo maana hilo la tatu linaweza kwenda hata lisaa geuza style karibu zote kunja mtoto wa watu hadi namuonea huruma, ndio maana idadi ya mabao sio kigezo kutokana na interval ya mtu
 
Back
Top Bottom