Mtoa mada amejichanganya au wachangiaji hatukumwelewa alimaanisha nini anaposema akipata bao moja anakuwa hoi. Kuna nguvu za aina mbili ambazo hutumika kwenye sex, nguvu za kiume na nguvu za mwili. Mimi nilivyomwelewa alikuwa anamaanisha nguvu za mwili na siyo za kiume.
Kijana anasema akitumia condom anapiga bao moja tu, lakini asipotumia condom anaweza kupiga zaidi ya bao moja.
Hii ina maana kwamba kijana akivaa mpira anatumia muda mrefu mpaka kupata goli na by the time anapata goli anakuwa kaishachoka (exhausted) japo anaweza kuwa bado ana nguvu za kiume kuendelea na goli jingine. Asipovaa mpira ndo inakuwa yale magoli ya dakika 5, na hivyo anaweza kuwa na nguvu za ziada kuendelea na magoli mengine.
Sioni kama kuna tatizo hapo, ongea na mwenzako kama anaridhika na hilo goli moja. Iwapo haridhiki nalo na anataka zaidi ya moja, basi kapimeni afya zenu na muwe waaminifu then muende peku ili mridhishane.
Kijana anasema magoli mengi yanajenga heshima kitaa, hivi ni nani huwa anakuja chumbani kukuangalia unapiga magoli mangapi ama unafanyaje hiyo shughuli? Hapa ndipo ninapoona pana weakness, tuache kuwadhalilisha wenzi wetu kwa kusimulia mambo ya chumbani vijiweni. Mpenzio anakuwa akipita washkaji wanamnyooshea kidole kwamba huwa analilia magoli ama utendaji wake uko hivi ama vile, hii ni noma sana. Heshima ya hayo mambo inabaki kwa mwenzi wako (mkeo/mpenzi) yeye ndiye anajua shughuli yako ikoje na haisaidii chochote kwenda kusimulia vijiweni.
Kijana anasema akitumia condom anapiga bao moja tu, lakini asipotumia condom anaweza kupiga zaidi ya bao moja.
Hii ina maana kwamba kijana akivaa mpira anatumia muda mrefu mpaka kupata goli na by the time anapata goli anakuwa kaishachoka (exhausted) japo anaweza kuwa bado ana nguvu za kiume kuendelea na goli jingine. Asipovaa mpira ndo inakuwa yale magoli ya dakika 5, na hivyo anaweza kuwa na nguvu za ziada kuendelea na magoli mengine.
Sioni kama kuna tatizo hapo, ongea na mwenzako kama anaridhika na hilo goli moja. Iwapo haridhiki nalo na anataka zaidi ya moja, basi kapimeni afya zenu na muwe waaminifu then muende peku ili mridhishane.
Kijana anasema magoli mengi yanajenga heshima kitaa, hivi ni nani huwa anakuja chumbani kukuangalia unapiga magoli mangapi ama unafanyaje hiyo shughuli? Hapa ndipo ninapoona pana weakness, tuache kuwadhalilisha wenzi wetu kwa kusimulia mambo ya chumbani vijiweni. Mpenzio anakuwa akipita washkaji wanamnyooshea kidole kwamba huwa analilia magoli ama utendaji wake uko hivi ama vile, hii ni noma sana. Heshima ya hayo mambo inabaki kwa mwenzi wako (mkeo/mpenzi) yeye ndiye anajua shughuli yako ikoje na haisaidii chochote kwenda kusimulia vijiweni.