Aisee...halafu credits zikapewa mwingine! Hawa watu wana rohombaya Sana ujue
Adharusi
Yani kwingine kooote alikoenda watu hawakuona lakini alipompa tu EL mkono na kusema huu ni muujiza imekuwa ni shida kila mahali
Mimi naona tatizo la huyu mtu liko kila mahali yani mpaka msemaji wa ccm bwana Ole kaongea. .!!!