Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,089
- 136,630
Hivi ni mimi tu au? Siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la bans. Watu wanalimwa ban shoto kulia.
Na nyinyi mmeliona hilo?
Halafu kuna mods wawili ambao ni wachemkaji sana ila mmoja wao naona kidogo siku hizi amekuwa na afadhali kidogo lakini bado ni mchemfu.
Jambo jingine nimegundua kuna mods hawawezi kabisa kutetea maamuzi yao ya ama kutoa ban au kufuta mabandiko ya watu. Ukiwabana wanaishia kukufungia au kufutilia mbali kila uandikacho. Mnakera sana na hiyo tabia yenu.
Sasa huu uzi usipofungwa nitashangaa sana. Tusubiri tuone.....
Na nyinyi mmeliona hilo?
Halafu kuna mods wawili ambao ni wachemkaji sana ila mmoja wao naona kidogo siku hizi amekuwa na afadhali kidogo lakini bado ni mchemfu.
Jambo jingine nimegundua kuna mods hawawezi kabisa kutetea maamuzi yao ya ama kutoa ban au kufuta mabandiko ya watu. Ukiwabana wanaishia kukufungia au kufutilia mbali kila uandikacho. Mnakera sana na hiyo tabia yenu.
Sasa huu uzi usipofungwa nitashangaa sana. Tusubiri tuone.....